Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Samatta dimbani leo dhidi ya Arsenal
Michezo

Samatta dimbani leo dhidi ya Arsenal

Mbwana Samatta
Spread the love

NAHODHA wa timu ya Taifa ya Tanzania, Mbwana Ally Samatta leo atashuka tena dimbani kwenye Ligi Kuu nchini England ambapo klabu yake ya Astorn Villa itakapo ikaribisha Arsenal kwenye uwanja wa Villa Park. Anaripoti Kelvin Mwaipungu, Dar es Salaam … (endelea).

Astorn Villa ambayo ina pointi 31 na kushika nafasi ya 18 kwenye msimamo wa ligi baada ya kucheza michezo 36 na kuwa kwenye hatari ya kushuka daraja.

Mchezo huo ambao utakuwa muhimu kwa kila timu kutokana na Arsenal kuhitaji matokeo ili  kujiweka vizuri kuelekea mchezo wa fainali wa kombe la FA dhidi ya Chelsea baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Manchester city kwenye mchezo wa nusu fainali.

Samatta ambaye alijiunga na timu hiyo kwenye dirisha dogo la usajili mwezi Januari, 2020 akitokea KRC Genk watakuwa na kibarua kikubwa mbele ya Arsenal ili kujinasua kushuka daraja ambapo tayari timu ya Norwich imeshashuka.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!