Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua Ikulu
Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli awaapisha viongozi aliowateua Ikulu

Spread the love

RAIS  wa Tanzania, John Pombe Magufuli amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Viongozi hao wameapishwa leo Jumatatu tarehe 20 Julai 2020 Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.

Pia, Rais Magufuli ameshuhudia uapisho wa wakuu wa wilaya za Ilala, Maswa, Kalambo, Rombo na Geita.

          Soma zaidi:

Walioapishwa ni;  Mhandisi Marwa Mwita Bubirya Kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe akichukua nafasi ya Christopher Ole Sendeka, Dk. Aloyce Nzuki, kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii na Mhandisi Anthony Sanga, kuwa katibu Mkuu, Wizara ya Maji akichukua nafasi ya Profesa Kitila Mkumbo.

Wengine ni; Dk. Seif Shekilage, kuwa katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe kuchukua nafasi ya David Kafulila. Dk. Allan Kijazi, Kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii.

Rais Magufuli amemwapisha Mhandisi Nadhifa Kemikimba, kuwa Naibu katibu Mkuu, Wizara ya Maji na Dk. Mwinyi Talib Haji, kuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

error: Content is protected !!