Sunday , 19 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe
Habari za Siasa

Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe (RC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uteuzi huo ni mabadiliko ya uteuzi alioufanya Rais Magufuli tarehe 17 Julai 2020 alipomteua Dk. Jumanne Fhika kuwa Mkuu wa Mkoa huo.

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Fhika alikuwa Ofisi ya Rais na aliteuliwa kuchukua nafasi ya Christopher Ole Sendeka.

Hata hivyo, leo Jumapili tarehe 19 Julai 2020, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema Dk. Fhika atabaki Ofisi ya Rais kuendelea na majukumu yake.

Taarifa yote ya Msigwa hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yamteua Pele kuwa mgombea ubunge Kwahani

Spread the loveKamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Ujenzi kituo cha kupoza umeme Chalinze wafikia asilimia 93.7

Spread the loveKamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeeleza...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Wakili Mwabukusi anusurika kufungiwa, asema hatarudi nyuma

Spread the loveWAKILI Boniface Mwabukusi amesema kuwa hatorudi nyuma kuwatetea Watanzania na...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

RC Chongolo atangaza ‘vita’ kwa wanaovusha wageni kinyemela

Spread the loveKATIKA kulinda usalama wa nchi kupitia mpaka wa Songwe, Mkuu...

error: Content is protected !!