Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa
Habari za Siasa

Kafulila na Katambi ‘out’, Ma DC, DAS wateuliwa

David Kafulila, Aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli ameendelea kufanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wakiwemo Katibu Tawala Mkoa wa Songwe (RAS), Wakuu wa Wilaya (DC) na Wakurungezi wa Halmashauri (DED).

Pia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejenti ya Utumishi wa Umma, George Mkuchika ameteua makatibu tawala wa wilaya (DAS).

          Soma zaidi..

Baadhi ya wateule wake anaowaweka kando ni kuwapa ruksa ya kwenda kugombea ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2020.

Soma hapa chini taarifa kamili ya uteuzi iliyotolewa na jana Ijumaa tarehe 17 Julai 2020 na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!