Friday , 29 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Rais Magufuli ateua naibu katibu mkuu
Habari Mchanganyiko

Rais Magufuli ateua naibu katibu mkuu

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Dk. Mwinyi Talib Haji kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Haji alikuwa Mkurugenzi wa Chuo cha Utumishi wa Umma Zanzibar na anachukua nafasi ya Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi.

Taarifa iliyotolewa na Gerson Msigwa, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania imesema, uteuzi wa Dk. Haji unaanza leo Jumamosi tarehe 18 Julai, 2020.

Msigwa amesema, Dk. Haji anatakiwa kuwepo Ikulu, Chamwino jijini Dodoma tarehe 20 Julai, 2020 saa 4:00 asubuhi.

Soma zaidi..

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!