Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe
Habari za Siasa

Rais Magufuli abadili uteuzi RC Njombe

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli amemteua Marwa Mwita Rubirya kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe (RC). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Uteuzi huo ni mabadiliko ya uteuzi alioufanya Rais Magufuli tarehe 17 Julai 2020 alipomteua Dk. Jumanne Fhika kuwa Mkuu wa Mkoa huo.

Kabla ya uteuzi huo, Dk. Fhika alikuwa Ofisi ya Rais na aliteuliwa kuchukua nafasi ya Christopher Ole Sendeka.

Hata hivyo, leo Jumapili tarehe 19 Julai 2020, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema Dk. Fhika atabaki Ofisi ya Rais kuendelea na majukumu yake.

Taarifa yote ya Msigwa hii hapa chini;

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

error: Content is protected !!