Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli kuhitimisha Bunge leo
Habari za Siasa

Rais Magufuli kuhitimisha Bunge leo

John Magufuli, Rais wa Tanzania
Spread the love

SAFARI ya Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyoanza siku 1670 zilizopita inahitimishwa leo Jumanne tarehe 16 Juni 2020. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea)

Bunge hilo la 11 linaloongozwa na Spika Job Ndugai lilianza safari yake rasmi tarehe 20 Novemba 2015 kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli kulizindua.

Siku ya uzinduzi wa Bunge hilo, wabunge wote wa upinzani, wakiongozwa na Freeman Mbowe, Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni walitoka ndani ya ukumbi.

Leo Jumanne, Rais Magufuli anakwenda kulihutubia Bunge hilo ili kuruhusu kwenda katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 2020.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE & MwanaHALISI TV kwa habari zaidi

1 Comment

  • Hili ndio Bunge la hovyo zaidi kutokea tangu Uhuru!! Kwa kweli mhimili huo wa dola haujapata kiongozi mahiri tangu kuondoka kwa Mzee Samuel Sitta. Bunge la Sasa lilijikita zaidi katika kujipendekeza kwa rais Magufuli!! Shame of CCM MPs.😬

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!