Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Kauli ya matumaini usajili laini za simu
Habari Mchanganyiko

Kauli ya matumaini usajili laini za simu

Spread the love

WANANCHI ambao hawajasajili laini zao za simu, lakini tayari wamefanya baadhi ya taratibu, busara itatumika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kogoma … (endelea).

Kauli hiyo imetolewa na Atashasta Nditiye, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano mkoani Kigoma.

Amesema, wananchi ambao taarifa zao zipo kwenye Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na hawajapata vitambulisho au namba kwa sababu mbalimbali, serikali itaona namna ya kufanya kuhakikisha wanaendelea kupata huduma “lakini wale ambao hawajajaza fomu kusajili, laini zao zitazimwa.”

Ameeleza kuwa, zoezi la usajili wa laini halitaisha tarehe 20 Januari 2020 kama ilivyotangazwa, na kwamba zoezi hilo ni endelevu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!