Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kauli ya matumaini usajili laini za simu
Habari Mchanganyiko

Kauli ya matumaini usajili laini za simu

Spread the love

WANANCHI ambao hawajasajili laini zao za simu, lakini tayari wamefanya baadhi ya taratibu, busara itatumika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Kogoma … (endelea).

Kauli hiyo imetolewa na Atashasta Nditiye, Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano mkoani Kigoma.

Amesema, wananchi ambao taarifa zao zipo kwenye Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na hawajapata vitambulisho au namba kwa sababu mbalimbali, serikali itaona namna ya kufanya kuhakikisha wanaendelea kupata huduma “lakini wale ambao hawajajaza fomu kusajili, laini zao zitazimwa.”

Ameeleza kuwa, zoezi la usajili wa laini halitaisha tarehe 20 Januari 2020 kama ilivyotangazwa, na kwamba zoezi hilo ni endelevu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

Habari Mchanganyiko

NBC yakabidhi vitanda Shule ya Polisi Moshi

Spread the loveBenki ya NBC imekabidhi msaada wa vitanda 28 kwa Shule...

error: Content is protected !!