Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa JPM awaweka njia panda Dk. Kigangwalla, Prof. Mkenda
Habari za Siasa

JPM awaweka njia panda Dk. Kigangwalla, Prof. Mkenda

Spread the love

RAIS John Magufuli ametoa siku tano kwa Dk. Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii na Prof. Adolf Mkenda, Katibu Mkuu wa wizara hiyo, kuondoa tofauti zao vingenevyo ‘atawatumbua’. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea).

Rais Magufuli ametoa agizo hilo leo tarehe 31 Desemba 2019, wakati akizungumza na Maafisa na Askari wa Wanyamapori wa Hifadhi ya Taifa ya Kisiwa cha Rubondo ….

Kiongozi huyo wa nchi amesema mahusiano mabaya ya  Dk. Kigwangalla na Prof. Mkenda yanasababisha baadhi ya shughuli za wizara hiyo, kukwama.

“Nnafahamu watendaji wenu wa juu Katibu Mkuu wa Wizara kila siku wanagombana, na ninawatazama taratibu. Nilishampa kazi Katibu Mkuu Kiongzi awaite, awaeleze lakini wasipobadilika nitawaondoa. Hilo ni lazima nizungumze kwa dhati,” ameagiza Rais Magufuli na kuongeza;

“Siwezi kuwa na watendaji wa kuteua mimi halafu kila siku wanagombana, kuna mambo mengi hayaendi. Katibu Mkuu hamheshimu Waziri n Waziri nae hataki kwenda na Katibu Mkuu, siwezi kuvumilia hilo.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!