Friday , 3 May 2024
Home Kitengo Michezo Baada ya Zahera, Yanga wavunja Kamati ya Mashindano
Michezo

Baada ya Zahera, Yanga wavunja Kamati ya Mashindano

Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Yanga
Spread the love

KAMATI ya Utendaji ya Klabu ya Yanga, imeivunja Kamati ya Mashindano ya klabu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo tarehe 7 Novemba 2019, na Hassan Bumbuli, Afisa Habari wa Klabu ya Yanga, kamati hiyo ilivunjwa rasmi tarehe 2 Novemba,  mwaka huu.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa, uamuzi wa kamati hiyo kuvunjuwa, ulifikiwa kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji  kilichoketi katika makao makuu ya klabu ya Yanga Jangwani, jijini Dar es Salaam, chini ya Dk. Mshindo Msolla, Mwenyekiti wa klabu hiyo.

“Uamuzi wa kuivunja kamati ya mashindano, ulifikiwa katika kikao cha kamati ya utendaji kilichoketi Novemba 2, 2019 makao makuu ya klabu, “ inaeleza taarifa hiyo.

Taarifa hiyo imesema kamati mpya ya mashindano itatangazwa baadae na uongozi wa klabu hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Europa na Conference kukupatia pesa ndefu leo

Spread the love  ALHAMISI ya leo tutaenda kushuhudia mitanange ya kukata na...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

error: Content is protected !!