Sunday , 28 April 2024
Home Kitengo Maisha Elimu Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa
ElimuHabari za Siasa

Majina ya waliopata mikopo ya elimu ya juu 2019/20 haya hapa

Bodi ya Mikopo Elimu ya Juu
Spread the love

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), imetoa majina 30,675 ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa mwaka 2019/20. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Orodha ya majina hayo imetolewa na Abdul-Razaq Badru ambaye ni mkurugenzi mtendaji wa bodi, na kwamba idadi ya waombaji ilikuwa wanafunzi 45, 000.

Akitoa ufafanuzi Badru amesema, idadi hiyo ya waliopata mikopo ni ya awamu ya kwanza, mkopo ambapo jumla ya Sh. 113 Bil zitatumika kwa mikopo hiyo.

Amesema, majina ama orodha ya wanafunzi watakaopata mikopo kwa awamu ya pili, itatangazwa tarehe 25 Oktoba 2019.

Kupata majina ya wanafunzi walipopata mkopo kwa mwaka 2019/20 ingia hapa

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!