Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Bakwata watangaza tarehe ya Sikukuu ya Eid
Habari Mchanganyiko

Bakwata watangaza tarehe ya Sikukuu ya Eid

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir
Spread the love

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limetangaza kwamba Sikukuu ya Idd El-Adh’haa itakuwa siku ya Juamatatu ya tarehe 12 Agosti, 2019. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa tarehe 2 Agosti 2019 na Nuhu Mruma, Katibu Mkuu BAKWATA, inaeleza kwamba swala ya Eid itaswaliwa katika Viwanja vya Masjid Kibadeni, Chanika Zogowali wilayani Ilala Jiji la Dar es Salaam.

Pia, taarifa hiyo imesema Baraza la Eid litafanyika viwanjani hapo mara baada ya swala ya Eid.

“Mheshimiwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir anapenda kuchukua fursa hii kuutangazia umma kuwa Sikukuu itakuwa siku ya Juamatatu tarehe 12 Agosti 2019,” inaeleza taarifa ya Mruma.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!