Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Makamba amtumia ujumbe Rais Magufuli
Habari za Siasa

Makamba amtumia ujumbe Rais Magufuli

Spread the love

JANUARY Makamba, aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), amemtumia jumbe Rais JohnMagufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Muda mfupi baada ya Rais Magufuli kumwapisha George Simbachawene kuongoza wizara ya Muungano na Mazingira, Makamba amemtumia kiongozi huyo wa nchi kupitia ukureasa wake wa twetter leo tarehe 22 Julai 2019.

Kwenye ujumbe wake huo Makamba amesema, anamshukuru Rais Magufuli kwa kumwamini na kumpa nafasi ya kutumikia Watanzania katika serikali yake.

Kwenye ujumbe huo Makama ameelekeza shukrani zake kwa Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais pamoja na Kasim Majaliwa, Waziri Mkuu.

Makamba ameandika “Neno la Mwisho kwenye hili: Namshukuru Rais kwa kuniamini, Makamu wa Rais kwa kunielekeza, PM kwa kunisimamia, na Team ya VPO/NEMC na Mawaziri wote kwa ushirikiano.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!