Monday , 11 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Makamba amtumia ujumbe Rais Magufuli
Habari za Siasa

Makamba amtumia ujumbe Rais Magufuli

Spread the love

JANUARY Makamba, aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), amemtumia jumbe Rais JohnMagufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Muda mfupi baada ya Rais Magufuli kumwapisha George Simbachawene kuongoza wizara ya Muungano na Mazingira, Makamba amemtumia kiongozi huyo wa nchi kupitia ukureasa wake wa twetter leo tarehe 22 Julai 2019.

Kwenye ujumbe wake huo Makamba amesema, anamshukuru Rais Magufuli kwa kumwamini na kumpa nafasi ya kutumikia Watanzania katika serikali yake.

Kwenye ujumbe huo Makama ameelekeza shukrani zake kwa Mama Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais pamoja na Kasim Majaliwa, Waziri Mkuu.

Makamba ameandika “Neno la Mwisho kwenye hili: Namshukuru Rais kwa kuniamini, Makamu wa Rais kwa kunielekeza, PM kwa kunisimamia, na Team ya VPO/NEMC na Mawaziri wote kwa ushirikiano.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Jaji Kiongozi akerwa wananchi kukosa imani na mahakama

Spread the loveWATENDAJI wa Mahakama ya Tanzania, wametakiwa kuweka mikakati itakayosaidia kurejesha...

BurudikaHabari za Siasa

Samia amchangia Professa Jay mil. 50, Chadema, wasanii wamwaga manoti

Spread the loveRAIS Samia Suluhu Hassan amechangia kiasi cha Sh 50 milioni...

Habari za Siasa

Biteko: Samia ni muumini wa maridhiano sio kwa kuigiza

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mpango: Sitakufa bali nitaishi

Spread the loveMAKAMU  wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk....

error: Content is protected !!