Sunday , 28 April 2024
Habari za SiasaTangulizi

Lissu avuliwa ubunge

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ametangaza kumvua ubunge, mbunge wa jimbo la Singida Mashariki (CHADEMA), Tundu Lissu, Anaripoti Saed Kubenea…(endelea).

Akizungumza bungeni jioni hii, Spika Ndugai, amesema Lissu amepoteza ubunge, kutokana na kutokuwapo bungeni kwa zaidi ya mwaka mmoja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!