Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana
Habari za SiasaTangulizi

TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana

Spread the love

JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na wenzake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Nyalandu leo mapema alishikiriwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Singida kwa mahojiano pamoja na David Jumbe na Samson ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema, Kata ya Itaja.

Kwa mujihu wa taarifa iliyotolewa na Tumaini Makene, Afisa Habari wa Chadema, inasema baada ya mahojiano TAKUKURU walimua kuwaachia Nyalandu na wenzake lakini Jeshi la Polisi waliwashikiria kwa mahojiano zaidi.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa baada ya Polisi kumaliza kuwahoji na kuandikisha maelezo waliruhusiwa kwa dhamana, lakini ghafla OCD akabadili uamuzi akidai amepokea maelekezo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!