Tuesday , 21 March 2023
Home Gazeti Habari za Siasa TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana
Habari za SiasaTangulizi

TAKUKURU wamwachia Nyalandu, Polisi wamnyima dhamana

Spread the love

JESHI la Polisi Singida Mjini limemnyika dhamana Mbunge wa zamani wa Jimbo la Singida Kaskazini na Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na wenzake. Anaripoti Mwandishi Wetu, Singida … (endelea).

Nyalandu leo mapema alishikiriwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Singida kwa mahojiano pamoja na David Jumbe na Samson ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema, Kata ya Itaja.

Kwa mujihu wa taarifa iliyotolewa na Tumaini Makene, Afisa Habari wa Chadema, inasema baada ya mahojiano TAKUKURU walimua kuwaachia Nyalandu na wenzake lakini Jeshi la Polisi waliwashikiria kwa mahojiano zaidi.

Taarifa hiyo inaeleza kuwa baada ya Polisi kumaliza kuwahoji na kuandikisha maelezo waliruhusiwa kwa dhamana, lakini ghafla OCD akabadili uamuzi akidai amepokea maelekezo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza iundwe kamati ya pamoja ya Mawaziri mradi wa BBT

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewaagiza mawaziri kuunda kamati...

Habari za Siasa

Rais Samia apangua makatibu tawala mikoa, ateua Kamishna DCEA

Spread the loveALIYEKUWA Kamishna wa Mamlaka ya Kudhibiti Dawa za Kulevya, Gerald...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

M/kiti bodi ya wadhamini Chadema afariki dunia

Spread the loveMWENYEKITI wa Bodi ya Wadhamini ya Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Zitto: Nikifa Ado atavaa viatu vyangu

Spread the love  KIONGOZI Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe...

error: Content is protected !!