Tuesday , 30 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Magufuli afanya uteuzi Wizara ya Fedha na TRA
Habari za Siasa

Rais Magufuli afanya uteuzi Wizara ya Fedha na TRA

Rais John Magufuli
Spread the love

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, John Magufuli amemteua Adolf Ndunguru kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango anayeshughulikia Sera ambayo ilikuwa wazi. Anaripoti Hamis Mguta … (endelea).

Kabla ya uteuzi huo Nduguru alikuwa Naibu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambapo kufuatia uteuzi huo Rais amemteua Msafiri Mbibo kuwa Naibu Kamishna Mkuu TRA.

Mbibo kabla ya kuteuliwa kwenye nafasi hiyo alikuwa Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro.

Kwa mujibu wa taatifa kutoka Ikulu iliyosainiwa na Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu uteuzi huo unaanza mara moja leo Machi 31, 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

error: Content is protected !!