Wednesday , 1 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee ajieleza mbele ya Kamati ya Bunge
Habari za Siasa

Halima Mdee ajieleza mbele ya Kamati ya Bunge

Spread the love

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee amefika mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha bunge anazodaiwa kuzitoa mitandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mdee amewasili mbele ya kamati hiyo bungeni jijini Dodoma leo tarehe 22 Januari 2019.

Mdee ameingia kwenye kikao hicho kujibu tuhuma zinazomkabili za kumuunga mkono Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kuhusu kauli aliyoitoa hivi karibuni ya kuliita bunge dhaifu.

Prof. Assad aliitoa kauli hiyo akiwa nje ya nchi wakati akifanyiwa mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa (U.N).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!