Wednesday , 1 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Ndugu wa Rostam Aziz afutiwa mashitaka
Habari Mchanganyiko

Ndugu wa Rostam Aziz afutiwa mashitaka

Akram Aziz, akitoka mahakamani Kisutu
Spread the love

NDUGU wa mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz, anayefahamika kwa jina la Akram Aziz, amefutiwa mashitaka na serikali. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akram alifunguliwa mashitaka mahakamani tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Alituhumiwa kukutwa na nyara za serikali, ujangili, utakatishaji wa fedha, udangaanyifu na kujimilikisha silaha kinyume cha sheria.

Mbele ya Mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu, upande wa mashitaka uliwasisha hoja ya kumfutia mtuhumiwa huyo mashitaka yote yaliyokuwa yanamkabili.

Hata hivyo, alizuiwa kuondoka mahakamani hapo. Inadaiwa kuwa serikali imepanga kubadilisha hati yake ya mashitaka ili kuweza kumfungulia mashitaka mengine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!