Thursday , 18 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Ndugu wa Rostam Aziz afutiwa mashitaka
Habari Mchanganyiko

Ndugu wa Rostam Aziz afutiwa mashitaka

Akram Aziz, akitoka mahakamani Kisutu
Spread the love

NDUGU wa mfanyabiashara mashuhuri nchini, Rostam Aziz, anayefahamika kwa jina la Akram Aziz, amefutiwa mashitaka na serikali. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Akram alifunguliwa mashitaka mahakamani tarehe 31 Oktoba mwaka huu. Alituhumiwa kukutwa na nyara za serikali, ujangili, utakatishaji wa fedha, udangaanyifu na kujimilikisha silaha kinyume cha sheria.

Mbele ya Mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu, upande wa mashitaka uliwasisha hoja ya kumfutia mtuhumiwa huyo mashitaka yote yaliyokuwa yanamkabili.

Hata hivyo, alizuiwa kuondoka mahakamani hapo. Inadaiwa kuwa serikali imepanga kubadilisha hati yake ya mashitaka ili kuweza kumfungulia mashitaka mengine.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

Habari Mchanganyiko

CBE yawakumbuka wenye mahitaji maalum Jangwani

Spread the loveCHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada mbalimbali na...

Habari Mchanganyiko

Mume auwa mke kwa kumchoma visu, ajisalimisha Polisi

Spread the loveJACKSON Kalamji (49), anashikiliwa na Jeshi la Polisi jijini Mwanza,...

Habari Mchanganyiko

Serikali yatoa ajira watumishi 46,000, yatangaza utaratibu mpya kuajiri

Spread the loveSERIKALI imetangaza nafasi za ajira za watumishi wa umma 46,000...

error: Content is protected !!