Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Operesheni fagia mashoga yaiva
Habari Mchanganyiko

Operesheni fagia mashoga yaiva

Spread the love

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema kuwa ameshatumiwa majina ya wanaume 100 wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja na jumbe 5,763. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Kupitia taarifa yake Makonda ameeleza kuwa wanaDar es Salaam wamewachoka na hawapendezwi na tabia ya ushoga hivyo wametoa ushirikiano na ofisi yake.

Zoezi hilo limeibuka mara baada ya msanii wa muziki wa kizazi kipya Amber Rutty kuachia video yake ya ngono.

“Nimepokea jumbe zaidi 5,763 na majina ya mashoga zaidi ya 100 hii inaonyesha WanaDSM hawataki laana ya mashonga. Naendelea kupokea majina ya Mashoga,” amesema Makonda.

Makonda amesema msako mkali wa kamata kamata ya mashoga na watu wanaojiuza utaanza wiki ijayo kwani kwa sasa anakiandaa kikosi kazi pamoja na kupokea baadhi ya majina.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!