Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni
Habari MchanganyikoTangulizi

Wanafunzi shule ya msingi watumbukia chooni

Spread the love

WANAFUNZI kadhaa katika Shule ya Msingi Seliani iliyoko wilayani Arusha wanadaiwa kutumbukia katika shimo la choo cha shule hiyo mchana huu. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Taarifa za tukio hilo zimesambaa mchana wa leo tarehe 26 Oktoba 2018 katika mitandao ya kijamii.

Kufuatia tukio hilo, Mtandao huu ulimtafuta kwa njia ya simu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Ramadhan Ng’azi ili kupata uthibitisho wa tukio hilo.

SACP Ng’azi ameuambia mtandao huu kuwa, hana taarifa za tukio hilo kwa muda huu, na kwamba anafuatilia tukio hilo kisha baadae atatoa taarifa sahihi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

error: Content is protected !!