Tuesday , 30 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Radi yaua wanafunzi sita Geita
Habari MchanganyikoTangulizi

Radi yaua wanafunzi sita Geita

Radi
Spread the love

SHULE ya Msingi Emaco Vision English Medium ya mjini Geita mkoa wa Mwanza imepata pigo baada ya kuondokewa na wanafunzi wake sita waliofariki duniani kwa kupigwa na radi wakati wengine 25 wakijeruhiwa kwenye tukio hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tukio hilo la kusikitisha limetokea asubuhi ya leo tarehe 17 Oktoba 2018, ambapo wanafunzi hao wa darasa la pili na la tatu walipatwa na mkasa huo wakiwa darasani.

Taarifa za tukio hilo zimethibitishwa na Ofisa Elimu Msingi wilaya ya Geita, Yese Kanyuma akieleza kuwa, radi hiyo imetokea kutokana na mvua kubwa iliyonyesha asubuhi ya leo.

Kanyuma ameeleza kuwa, majeruhi wanaendelea kupatiwa matibabu.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

Habari za SiasaTangulizi

Samia ataja miradi ambayo Tanzania inashirikiana na IDA

Spread the loveRais wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan leo Jumatatu amehutubia...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

error: Content is protected !!