Tuesday , 30 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Tanzania yashinda tuzo ya kimataifa
Habari Mchanganyiko

Tanzania yashinda tuzo ya kimataifa

Waziri wa Nchi Ofisi a Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Ummy Mwalimu
Spread the love

TANZANIA imetunukiwa tuzo ya Kimataifa ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambikiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tuzo hiyo alikabidhiwa jana tarehe 27 Septemba 2018 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na Makamu Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Dkt.Soumya Swaminatha Mjini New York nchini Marekani.

Tuzo hiyo imetolewa na kikosi kazi Maalumu cha Umoja wa Mataifa (UN) mahsusi kwa kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza (NCDs- UNIATF).

Tanzania imepewa tuzo hiyo kama sehemu ya kutambulika kwa juhudi zake kupitia Wizara ya Afya katika kupambana dhidi ya magonjwa hayo ikiwemo shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na saratani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yapongezwa kuimarisha ubora na usahihi wa taarifa za Hali ya Hewa

Spread the love  WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA),...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

7 wafa Ulanga, mbunge alia kutelekezwa na mawaziri, Tanroad

Spread the loveWatoto saba wamepoteza maisha na zaidi ya kaya 70 kukosa...

Habari Mchanganyiko

Bil 12.4 zimetumika ujenzi wa miradi wilaya ya Momba

Spread the love MKUU wa wilaya ya Momba mkoani Songwe Kennan Kihongosi...

AfyaHabari Mchanganyiko

Songwe katika mikakati ya elimu ya lishe kudhibiti udumavu

Spread the love  SERIKALI mkoani Songwe imejipanga kuendelea kutoa elimu ya lishe...

error: Content is protected !!