Friday , 29 September 2023
Home Habari Mchanganyiko Tanzania yashinda tuzo ya kimataifa
Habari Mchanganyiko

Tanzania yashinda tuzo ya kimataifa

Waziri wa Nchi Ofisi a Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(Tamisemi), Ummy Mwalimu
Spread the love

TANZANIA imetunukiwa tuzo ya Kimataifa ya kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambikiza. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Tuzo hiyo alikabidhiwa jana tarehe 27 Septemba 2018 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu na Makamu Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani(WHO) Dkt.Soumya Swaminatha Mjini New York nchini Marekani.

Tuzo hiyo imetolewa na kikosi kazi Maalumu cha Umoja wa Mataifa (UN) mahsusi kwa kupambana na magonjwa yasiyo ya kuambukiza (NCDs- UNIATF).

Tanzania imepewa tuzo hiyo kama sehemu ya kutambulika kwa juhudi zake kupitia Wizara ya Afya katika kupambana dhidi ya magonjwa hayo ikiwemo shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na saratani.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

Stamico yafungua fursa za kiuchumi kwa makundi maalumu

Spread the loveSHIRIKA la Madini la Taifa (STAMICO) limemwaga neema kwa watu...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Maabara ya bilioni 5 upimaji madini yazinduliwa Geita, inapima kwa mionzi

Spread the loveZaidi ya Sh bilioni tano zimewekezwa katika kampuni ya MSALABS...

ElimuHabari Mchanganyiko

Wanafunzi Nyamkumbu wanolewa na GGML kuhusu taaluma ya madini

Spread the loveZAIDI ya Wanafunzi 50 kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana...

Habari Mchanganyiko

Makamba: China ni ya mfani kwa kupunguza umaskini

Spread the loveWAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, January...

error: Content is protected !!