Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Gari la mbunge Chadema lashambuliwa kwa risasi Monduli
Habari za SiasaTangulizi

Gari la mbunge Chadema lashambuliwa kwa risasi Monduli

Spread the love

ANNA Gidarya, Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Manyara ameeleza kuwa, gari lake limeshambuliwa kwa risasi leo tarehe 16 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Anna amesema, risasi hizi zimepiga kwenye matari yake ya gari na Sasa anaelekea katika Kituo cha Polisi cha Mto wa Mbu kutoa maelezo.

Anaeleza kuwa, shambulizi hilo limetokea katika Kata ya Majengo, wilayani Monduli katika Mkoa wa Arusha.

Mbunge huyo anaeleza kuwa, yupo Monduli kusimamia na kufuatilia uchaguzi wa ubunge kwenye Jimbo la Monduli leo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!