Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa CUF yapigwa bao mapema Dar
Habari za Siasa

CUF yapigwa bao mapema Dar

Spread the love

MOHAMED Faki, mgombea udiwani katika Kata ya Vingunguti (CUF) Dar es Salaam ameanza kukaangwa mapema. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mawakala wa Faki wamezuiwa kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura Jambo linalomwacha mdomo wazi.

Mawakala wake watano amesema wamekataliwa kuingia kumsaidia kusimamia kura zake katika Kituo cha Upigaji Kura Cha Shule ya Msingi Miembeni kwa madai hawatambuliki.

“Mawakala wangu wanazo fomu na wakiwaonesha wanasema sio pale lakini zinaonesha Ni kituo hicho,” amesema Faki.

Na kwamba hana cha kufanya kwa kuwa, kwenye kituo hicho tayari amepigwa bao mapema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!