Friday , 2 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa CUF yapigwa bao mapema Dar
Habari za Siasa

CUF yapigwa bao mapema Dar

Spread the love

MOHAMED Faki, mgombea udiwani katika Kata ya Vingunguti (CUF) Dar es Salaam ameanza kukaangwa mapema. Anaripoti Faki Sosi … (endelea).

Mawakala wa Faki wamezuiwa kuingia kwenye vyumba vya kupigia kura Jambo linalomwacha mdomo wazi.

Mawakala wake watano amesema wamekataliwa kuingia kumsaidia kusimamia kura zake katika Kituo cha Upigaji Kura Cha Shule ya Msingi Miembeni kwa madai hawatambuliki.

“Mawakala wangu wanazo fomu na wakiwaonesha wanasema sio pale lakini zinaonesha Ni kituo hicho,” amesema Faki.

Na kwamba hana cha kufanya kwa kuwa, kwenye kituo hicho tayari amepigwa bao mapema.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

Habari za SiasaTangulizi

Zanzibar watangaza rasmi kuwa shamba la Razaba ni mali yao

Spread the love  SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), imetangaza rasmi kwamba shamba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Mwinyi azindua Kamati ya Maridhiano Visiwani

Spread the love  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Hussein...

error: Content is protected !!