Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Gari la mbunge Chadema lashambuliwa kwa risasi Monduli
Habari za SiasaTangulizi

Gari la mbunge Chadema lashambuliwa kwa risasi Monduli

Spread the love

ANNA Gidarya, Mbunge wa Viti Maalum Chadema, Manyara ameeleza kuwa, gari lake limeshambuliwa kwa risasi leo tarehe 16 Septemba 2018. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Anna amesema, risasi hizi zimepiga kwenye matari yake ya gari na Sasa anaelekea katika Kituo cha Polisi cha Mto wa Mbu kutoa maelezo.

Anaeleza kuwa, shambulizi hilo limetokea katika Kata ya Majengo, wilayani Monduli katika Mkoa wa Arusha.

Mbunge huyo anaeleza kuwa, yupo Monduli kusimamia na kufuatilia uchaguzi wa ubunge kwenye Jimbo la Monduli leo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bajeti ya Ikulu 2024/25 kuongezeka, bunge laombwa kurudhia Sh. 1.1 trilioni

Spread the love  WIZARA ya Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

error: Content is protected !!