Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika
Habari za Siasa

Afya ya Dk. Kigwangalla yaimarika

Dk. Hamisi Kigwangalla, Waziri wa Maliasili na Utalii (kulia) akizungimza na Naibu wake, Japhet Hasunga
Spread the love

HALI ya Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla inazidi kuimarika ambapo kwa mara ya kwanza tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, amefanya mazoezi ya kupanda ngazi kwa miguu kutoka ghorofa ya kwanza hadi ya sita. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea).

Waziri Kigwangalla alilazwa Muhimbili baada ya kupata ajali tarehe 4 Agosti mwaka huu, maeneo ya Magugu mkoani Manyara akiwa njiani akitokea Arusha kuelekea Dodoma.

Akizungumza na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Japhet Hasunga aliyemtembelea hospitalini hap oleo tarehe 14 Agosti, 2018, Dk. Kigwangalla amesema hali yake inazidi kuimarika.

Awali, tarehe 12 Agosti mwaka huu, Dk. Kigwangalla alifanyiwa operesheni ya mkono na madaktari wa Muhimbili ambapo ilimalizika salama na sasa anaendelea vizuri.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!