Tuesday , 7 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Polisi wasambaratisha mkutano wa Zitto Tarime
Habari za SiasaTangulizi

Polisi wasambaratisha mkutano wa Zitto Tarime

Spread the love

JESHI la Polisi limezuia mkutano wa pamoja wa wabunge, Zitto Kabwe ( ACT), Upendo Peneza (Chadema) na John Heche (Chadema) wa kumnadi mgombea udiwani Chadema Kata ya Turwa wilayani Tarime. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mkutano huo unadaiwa kuzuiwa kwa sababu ya Msimamizi Msaidizi wa Uchaguzi  wa wilaya hiyo kusimamisha mikutano yote ya Chadema.

Zitto Kabwe ambaye pia ni  Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema Jeshi la Polisi linamshikilia Mbunge Esther Matiko pamoja na Mwandishi wa Habari wa Tanzania Daima, Tuma Sitta.

“Polisi wamenizuia kufika kituoni kumwona Mbunge Esther Matiko. Polisi wamevamia ofisi za Chadema Tarime na kurusha mabomu ya machozi. Udiwani tu unaleta maafa makubwa,” amesema Zitto.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Rais Samia ni Mzanzibari: Shida Iko Wapi?

Spread the loveTAIFA linakabiliwa na upungufu wa fikra sahihi. Upungufu huu unaonekana...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mpina mwiba CCM, ahofia kuzibwa mdomo

Spread the loveWAKATI Chama cha Mapinduzi (CCM), kikijinasibu kuwa kinara wa demokrasia...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Mabeyo ametuepusha

Spread the loveNIMEGUSWA na uadilifu, utiifu na uaminifu wa Mkuu mstaafu wa...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yaitaka TAKUKURU kuichunguza Chadema tuhuma alizoibua Lissu

Spread the loveCHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana...

error: Content is protected !!