Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Mkwasa kwenda India kwa Matibabu
Michezo

Mkwasa kwenda India kwa Matibabu

Boniface Mkwasa
Spread the love

ALIYEKUWA katibu mkuu wa klabu ya Yanga na kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa amesafiri jana kuelekea India kwa matibabu ya maradhi yanayomkabili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Taarifa hiyo ya matibabu ya Mkwasa imetolewa na Msemaji wa klabu hiyo Dismas Ten kupitia ukurasa wake unaopatikana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram uliosomeka.

“Kila la kheri Mkwasa kwenye safari yako ya matibabu India, imani yangu kubwa kila kitu kitakwenda sawa na utarejea kwenye afya yako”

Mkwasa ambaye alijiuzuru kwenye nafasi yake ya ukatibu mkuu ndani ya klabu ya Yanga mapema mwezi uliopita kutokana na sababu za maradhi ambayo yanamkabili kwa sasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!