Friday , 29 March 2024
Home Kitengo Michezo Mkwasa kwenda India kwa Matibabu
Michezo

Mkwasa kwenda India kwa Matibabu

Boniface Mkwasa
Spread the love

ALIYEKUWA katibu mkuu wa klabu ya Yanga na kocha wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Charles Boniface Mkwasa amesafiri jana kuelekea India kwa matibabu ya maradhi yanayomkabili. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Taarifa hiyo ya matibabu ya Mkwasa imetolewa na Msemaji wa klabu hiyo Dismas Ten kupitia ukurasa wake unaopatikana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram uliosomeka.

“Kila la kheri Mkwasa kwenye safari yako ya matibabu India, imani yangu kubwa kila kitu kitakwenda sawa na utarejea kwenye afya yako”

Mkwasa ambaye alijiuzuru kwenye nafasi yake ya ukatibu mkuu ndani ya klabu ya Yanga mapema mwezi uliopita kutokana na sababu za maradhi ambayo yanamkabili kwa sasa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Makala & UchambuziMichezo

TFF kuamua hatima ya Amrouche

Spread the loveHATIMA ya Kocha Mkuu wa Taifa Stars, Adel Amrouche kuendelea...

Habari za SiasaMichezo

Matinyi: Dk. Ndumbaro alifanya utani ukaguzi mechi za Yanga, Simba

Spread the loveMsemaji Mkuu wa Serikali, Mobhare Matinyi amesema kauli iliyotolewa na...

Michezo

Gethsemane Group Kinondoni (GGK) waachia video ya Bwana Wastahili

Spread the loveWAIMBAJI maarufu nchini kutoka Gethsemane Group Kinondoni (GGK)SDA wameachia video...

BiasharaMichezo

Gamondi kocha bora mwezi Februari, NBC yamjaza manoti

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) ambae ni mdhamini Mkuu...

error: Content is protected !!