Thursday , 9 May 2024
Home Kitengo Michezo Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo
Michezo

Dirisha la Ligi Kuu kufungwa leo, TFF watoa onyo

Clifford Ndimbo, Msemaji wa TFF
Spread the love

KUELEKEA kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limetoa angalizo kwa klabu zinazoshiriki ligi kuu na ligi daraja la kwanza ambazo hazija kamilisha usajiri kupitia mfumo wa TFF FIFA Connect, hazitoongezea muda wa ziada kukamilisha swala hilo. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Timu za Ligi Kuu ambazo hazijakamalisha usajili kwa njia ya mtandao mpaka sasa ni African Lyon, KMC, Mwadui na Mtibwa Sugar kwa upande wa timu zinazoshiriki ligi daraja lwa kwanza ni AFC, Ashanti United, Arusha United (JKT Oljoro), Kiluvya United, Majimaji, Mashujaa, Geita Gold (Mshikamano).

Dirisha hilo la usajili kwa klabu za Ligi Kuu na ligi daraja la kwanza linatarajia kufungwa kesho 26 Julai, 2018, majira ya saa sita usiku.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Kengold wakabidhiwa kombe NBC Championship

Spread the loveMdhamini mkuu wa Ligi Daraja la Kwanza (NBC Championship) Benki...

Michezo

Piga pesa na mechi za UEFA

Spread the love  HATIMAYE leo hii ndio kitaeleweka nani aende Nusu Fainali...

Michezo

Idris Sultan anogesha msimu wa 3 wa Bridgerton

Spread the loveSTAA wa burudani kutoka ardhi ya Tanzania, Idris Sultan amenogesha...

Michezo

Ligi mbalimbali za pesa kuendelea leo

Spread the love JUMAPILI ya leo imekaa kipesa tuu yani baada ya...

error: Content is protected !!