Thursday , 2 May 2024
Home Kitengo Michezo Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam
Michezo

Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam

Spread the love

KLABU ya Azam FC imemtambulisha rasmi, Hans van der Pluijm kama kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya kusaini mktaba wa mwaka mmoja kuitumikia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Pluijm aliyeiongoza Yanga kwa mafanikio makubwa, ataingoza timu hiyo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania akitokea akitokea klabu ya Singida United aliyeitumikia kwa mwaka mmoja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

Michezo

Usiku wa Ulaya umerejea kibabe kabisa

Spread the love  LIGI ya Mabingwa barani Ulaya imerejea tena na awamu...

Habari MchanganyikoMichezo

Mambo ya Ndani, Ulinzi zang’ara michezo ya Mei Mosi Arusha

Spread the loveRais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini...

Michezo

Beti na Meridianbet mechi za leo

Spread the love IKIWA leo hii ni Jumapili tulivu kabisa, Meridianbet wanamkwambia...

error: Content is protected !!