Saturday , 3 June 2023
Home Kitengo Michezo Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam
Michezo

Pluijm apewa mkataba wa mwaka mmoja Azam

Spread the love

KLABU ya Azam FC imemtambulisha rasmi, Hans van der Pluijm kama kocha mkuu wa klabu hiyo baada ya kusaini mktaba wa mwaka mmoja kuitumikia. Anaripoti Kelvin Mwaipungu … (endelea).

Pluijm aliyeiongoza Yanga kwa mafanikio makubwa, ataingoza timu hiyo katika msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania akitokea akitokea klabu ya Singida United aliyeitumikia kwa mwaka mmoja.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Michezo

Dk. Mkwizu: Afrika tudumishe utamaduni

Spread the love  MWENYEKITI wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa Mkoa wa...

Michezo

‘EONII’ kuteka tasnia ya filamu

Spread the love  UZINDUZI wa Filamu ya Kisayansi ya ‘EONII’ uliofanyika Mei...

Michezo

NBC Dodoma Marathon yazinduliwa, wakiambiaji 6,000 kushiriki

Spread the loveBENKI ya NBC imetangaza kufanyika kwa mbio kubwa za NBC...

Michezo

Rais Samia anunua tiketi 5000 Yanga vs USM Alger

Spread the loveRAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

error: Content is protected !!