Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Prof. Majimarefu afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Prof. Majimarefu afariki dunia

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpa pole mbunge wa Korogwe Vijijini, Steven Ngonyani alipolazwa katika hospitali ya Kairuki, Dar es Salaam
Spread the love

STEVEN Ngonyani aliyefahamika zaidi kwa jina la Profesa Majimarefu, Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), amefariki dunia leo usiku Jumatatu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH). Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Ofisa Uhusiano wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Aminiel Eligaeshi amethibitisha kutokea kwa kifo cha mbunge huyo aliyekuwa amelazwa hospitalini hapo.

Prof. Majimarefu alianza kuugua akiwa bungeni jijini Dodoma tangu mwezi uliopita kabla ya kuhamishiwa Muhimbili Juni 20, mwaka huu. Ugonjwa uliokuwa ukimsumbua mbunge huyo hakikuwekwa wazi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

error: Content is protected !!