Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Lissu afanyiwa operesheni ya mwisho, yamalizika salama
Habari za SiasaTangulizi

Lissu afanyiwa operesheni ya mwisho, yamalizika salama

Spread the love

TUNDU Lissu mbunge wa Singida Mashariki (Chadema) amefanyiwa operesheni ya mwisho na imemalizika salama. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Lissu ambaye alifanyiwa operesheni jana, Juni 4, 2018 ya kuunga mguu wa kulia.

Katika Operesheni hiyo iliyofanyika Hospitali ya Chuo Kikuu cha Leuven nchini Ubelgiji, Lissu aliizungumzia akisema itakuchukua takriabani saa 8 hivyo kuwaomba Watanzania kumwombea.

Saa 3 usiku jana Juni 4,2018, Mke wake, Alicia amesema: “Namshukuru Mungu kwani operation ya 20 iliyokuwa ya masaa 8 imekwenda vizuri na amezinduka. As always he is stable. Asanteni sana.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Kwahani

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imetangaza uchaguzi mdogo...

error: Content is protected !!