Monday , 6 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Spika Ndugai apasua vichwa wabunge
Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai apasua vichwa wabunge

Spread the love

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, amepanga upya Kamati za Bunge, kufuatia kumalizika kwa muda wa kamati za awali. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Katika mabadiliko hayo, wabunge kadhaa wamehamishwa kwenye kamati walizokuwa awali na kuhamishiwa kwenye kamati nyingine.

Miongoni mwa walioathirika na hamisha hiyo, ni pamoja na mbunge wa Muhenza (CCM), Adadi Rajabu, aliyehamishiwa Kamati ya Bajeti.

Kabla ya mabadiliko hayo, Adadi alikuwa mjumbe kwenye Kamati ya Ulinzi na Usalama na mwenyekiti wa kamati hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Jacob, Malisa wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uongo mitandaoni

Spread the loveMKURUGENZI wa Shirika la Haki, Godlisten Malisa na mwanachama wa...

BiasharaHabari za Siasa

Bunge laitaka Serikali kudhibiti ufisadi miradi ya mkakati

Spread the loveKAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu, imeitaka Serikali kuimarisha...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Wizara ya Uchukuzi yaomba kuongezewa bajeti na Bunge

Spread the loveWIZARA ya Uchukuzi imeliomba Bunge liidhinishe bajeti yake kwa mwaka...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Serikali kutafuta mwekezaji mwingine Bandari ya Dar es Salaam

Spread the loveSERIKALI inaendelea kutafuta mwekezaji mwingine atakayeendesha gati namba nane hadi...

error: Content is protected !!