Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji
Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji

Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi.

Hukumu hiyo imetolewa mchana huu na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Cyprian Mkeha kwamba Mahakama imeridhia ushahidi uliwasilishwa na upande wa utetezi.

Hakimu Mkeha amesema pamoja na kuridhia ushahidi wa pamoja, lakini mahakama umekubaliana pasipo shaka na ushahidi uliotolewa na mtumishi wa Umma ambaye ni Daktari kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hakimu Mkeha amesema kuwa upande wa mashatka umeshindwa kuthibisha makosa ya mtuhumiwa huyo.

Hakimu Mfawidhi Mkeha amesema kuwa uapande wa Mashataka umeshindwa kusibitisha kosa alidaiwa kutenda Manji.

Manji alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 16, 2017 akidaiwa kati ya Februari 6 na 9, 2017 katika eneo la Upanga Sea View wilayani Ilala alitumia dawa za kulevya aina ya heroin.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!