Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji
Habari za SiasaTangulizi

Ushahidi wa Dk. wa Muhimbili wamweka huru Manji

Spread the love

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru Mfanyabiashara Yusuf Manji aliyekuwa anatuhumiwa kwa kosa la utumiaji wa dawa za kulevya, anaandika Faki Sosi.

Hukumu hiyo imetolewa mchana huu na Hakimu Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Cyprian Mkeha kwamba Mahakama imeridhia ushahidi uliwasilishwa na upande wa utetezi.

Hakimu Mkeha amesema pamoja na kuridhia ushahidi wa pamoja, lakini mahakama umekubaliana pasipo shaka na ushahidi uliotolewa na mtumishi wa Umma ambaye ni Daktari kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Hakimu Mkeha amesema kuwa upande wa mashatka umeshindwa kuthibisha makosa ya mtuhumiwa huyo.

Hakimu Mfawidhi Mkeha amesema kuwa uapande wa Mashataka umeshindwa kusibitisha kosa alidaiwa kutenda Manji.

Manji alifikishwa mahakamani hapo kwa mara ya kwanza Februari 16, 2017 akidaiwa kati ya Februari 6 na 9, 2017 katika eneo la Upanga Sea View wilayani Ilala alitumia dawa za kulevya aina ya heroin.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

error: Content is protected !!