Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Nyumba ya Zitto Kabwe yateketea kwa moto
Habari MchanganyikoTangulizi

Nyumba ya Zitto Kabwe yateketea kwa moto

Spread the love

TAARIFA zilizotufikia muda huu ni kuwa nyumba ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe iliyopo  Mwandiga, Kigoma imeungua moto, anaandika Mwandishi wetu.

Taarifa hizo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya ACT Amani (Ulinzi na Usalama) Mohamed Babu na amesema kuwa hadi sasa Kamati hiyo  inafuatilia zaidi.

Taarifa zaidi zitawajia punde.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

Habari MchanganyikoKimataifa

Ruto amteua Kahariri kuwa mkuu wa majeshi

Spread the loveRAIS wa Kenya, William Ruto, amemteua Jenerali Charles Muriu Kahariri,...

error: Content is protected !!