TAARIFA zilizotufikia muda huu ni kuwa nyumba ya Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe iliyopo Mwandiga, Kigoma imeungua moto, anaandika Mwandishi wetu.
Taarifa hizo kutoka kwa Mwenyekiti wa Kamati ya ACT Amani (Ulinzi na Usalama) Mohamed Babu na amesema kuwa hadi sasa Kamati hiyo inafuatilia zaidi.
Taarifa zaidi zitawajia punde.
Leave a comment