Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi
Habari za Siasa

Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi

Hashim Rungwe, Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma)
Spread the love

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hashim Rungwe ametupia lawama Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwamba limemuonea kwa kumkamata usiku, anaandika Faki Sosi.

Rungwe ambaye pia Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma) amesema hana kosa lolote lakini alikamatwa na Polisi na kuwekwa ndani kwa siku kadhaa.

Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa, polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam hawakumtendea haki kutokana na kumkamata usiku nyumbani kwake ilhali aliwapa vielelezo vyote kuhusu kusaini kwa mkataba wa biashara kati ya mfanyabiashara wa Uturuki na Tanzania.

Rungwe amekiri kuhusika na mkataba huo kutoka kwa wateja wake kwa kufuata sheria na kwamba alimpelekea pesa hizo mfanyabiashara wa kitanzania ili atimize makubaliono na mfanyabiasha wa uturuki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!