Saturday , 27 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi
Habari za Siasa

Mgombea urais Tanzania atupia lawama Polisi

Hashim Rungwe, Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma)
Spread the love

ALIYEKUWA mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hashim Rungwe ametupia lawama Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwamba limemuonea kwa kumkamata usiku, anaandika Faki Sosi.

Rungwe ambaye pia Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Umma (Chauma) amesema hana kosa lolote lakini alikamatwa na Polisi na kuwekwa ndani kwa siku kadhaa.

Akizungumza na waandishi wa habari amesema kuwa, polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam hawakumtendea haki kutokana na kumkamata usiku nyumbani kwake ilhali aliwapa vielelezo vyote kuhusu kusaini kwa mkataba wa biashara kati ya mfanyabiashara wa Uturuki na Tanzania.

Rungwe amekiri kuhusika na mkataba huo kutoka kwa wateja wake kwa kufuata sheria na kwamba alimpelekea pesa hizo mfanyabiashara wa kitanzania ili atimize makubaliono na mfanyabiasha wa uturuki.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

ACT: Waongoza watalii wapate maslahi yao inavyostahili

Spread the loveCHAMA cha ACT-Wazalendo kimeitaka serikali kuhakikisha inasimamia maslahi stahiki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

error: Content is protected !!