Friday , 3 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Wabunge waliotemwa na Lipumba wafunguka 
Habari za Siasa

Wabunge waliotemwa na Lipumba wafunguka 

Mbunge wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyetenguliwa Ubunge na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC)  Riziki Ngwali akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani)
Spread the love

MBUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF) aliyetenguliwa Ubunge na Tume ya Uchaguzi ya Taifa (NEC)  Riziki Ngwali amesema hujuma zilizofanywa ndani ya Chama hicho zinaweza kusababisha machafuko, anaandika Faki Sosi.

Riziki ambaye ni Mwanadiplomasia amesema hayo leo Jijini Dar es Salaam kwenye  Ofisi ya wabunge wa Chama hicho kuwa  hujuma zilizofanywa makusudi  na watendaji wa Serikali ambao waliwajibika kulinda haki na Demokrasia

TAZAMA VIDEO NZIMA HAPA

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya afutiwa kesi, ruksa kugombea uongozi

Spread the loveMwendesha Mashtaka Mkuu wa Serikali DPP leo Ijumaa amefuta rufaa...

Habari za Siasa

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Spread the loveSerikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kwafukuta kisa chaguzi, Lissu aibua tuhuma nzito

Spread the loveCHAGUZI za kusaka viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

error: Content is protected !!