Sunday , 28 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mradi wa kuuvuruga Ukawa waiva
Habari za SiasaTangulizi

Mradi wa kuuvuruga Ukawa waiva

Spread the love

MBUNGE wa Kaliua, Magdalena Sakaya, ametoa mwaliko kwa wabunge wote wa Chama Cha Mapinduzi, kuhudhuria tafrija na sherehe kubwa ya kuapishwa wabunge saba walioteuliwa na anayejiita, “mwenyekiti wa CUF,” Ibrahim Lipumba.

Mwandishi wetu kutoka Dodoma anasema, wa mujibu wa mwaliko huo, uliowasilishwa kwenye kikao cha wabunge wa CCM, kilichofanyika jioni ya leo.

Anasema, sherehe hizo zitafanyika kwenye ukumbi wa Didoma Hoteli.
Sakaya ambaye tayari amefukuzwa uanachama wa CUF, lakini akabaki kwenye chama hicho kwa maguvu ya serikali, amenukuliwa akimuahidi Spika wa Bunge, kuwa wabunge wake hao watafanya kazi bega kwa bega na uongozi wake.

Aidha, katika hatua nyingine, magari kadhaa yaliyobeba wafuasi wa Lipumba yameonekana maeneo ya Dodoma ili kuhudhuria kuapishwa kwa wabunge hao wasaliti.

Naye Lipumba ameonekana mjini hapa kuhudhuria sherehe hizo. Anatarajiwa kuingia bungeni kesho asubuhi.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde aibana kampuni kutimiza masharti ya mkataba

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameitaka Kampuni ya Xin Tai...

Habari za Siasa

Sauti ya Watanzania waeleza sababu za kuiunga mkono Chadema

Spread the love  KIKUNDI kinachojipambanua katika kupigania rasilimali na uhuru wa nchi,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jacob, Malisa waachiwa kwa masharti

Spread the love  JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Tanzania, Somalia kuibua maeneo mapya ya ushirikiano

Spread the love  RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Somalia...

error: Content is protected !!