Thursday , 2 May 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo
Habari za SiasaTangulizi

Huyu ndiye Lissu, alianza kupinga dhuluma akiwa mdogo

Spread the love

MDOGO wake, mwanasiasa machachari, Tundu Lissu, Vincent Lissu amefunguka na kueleza maisha ya kaka yake tangu akiwa anasoma shule ya msingi,  huku akisema ndugu yake alianza harakati za kupinga  ufisadi na kuonewa tangu miaka miaka ya 80.

Lissu ambaye pia ni mwanasheria mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kwa sasa ni Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema).

Vincent akizungumza na MwanaHALISI online, amesema ndugu yake Lissu ana msimamo usioyumba tangu akiwa mdogo na kwamba ameendelea kuishi hivyo mpaka leo.

“Kaka yangu amekuwa mtetezi wa haki tangu akiwa mdogo sana na hakupenda kuona uonevu mbele ya macho yake,” ndivyo anavyosema Vincent.

HAYA NI MAELEZO YA VICENT KUHUSU KAKA YAKE LISSU PAMOJA NA KUTOA HISTORIA YAKE, USISAHAU KU-SUBSCRIBE CHANNEL YETU YA YOUTUBE (MwanaHALISI TV)

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari za Siasa

Mavunde aomba bilioni 231.9 bajeti wizara ya madini

Spread the loveWAZIRI wa Madini, Anthony Mavunde leo Jumanne amewasilisha hotuba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu amjibu Fatma Karume kuhusu Rais Samia

Spread the love  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Slaa: Watanzania iungeni mkono Chadema uchaguzi 2025

Spread the loveMWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Dk. Wilbroad Slaa, amewataka watanzania wakiunge...

error: Content is protected !!