Thursday , 2 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yawapigia debe maskini Kahama
Habari Mchanganyiko

Serikali yawapigia debe maskini Kahama

Baadhi ya wananchi wakiwa sehemu ya mapokezi ya hospitali, tayari kwa kupata huduma
Spread the love

KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wananchi wa kijiji cha Iyenze kata Iyenze  wilayani  Kahama mkoani Shinyanga kuhakikisha wanawasaidia wanzeo wasiojiweza kwa kuwalipia  Bima ya Afya iliyoboreshwa(CHF), anaandika Mwandishi Wetu.

Kijiji  hicho kina kaya 1177 wakati 7932 na idadi ya watu wanafikia zaidi ya 7000 kwa mujibu wa sensa ya  mwaka 2012.

Kauli hiyo imetolewa katika uzinduzi wa CHF ambayo inatoa  huduma katika vituo vya fya vya serikali uliofanyika katika kijiji cha Iyenze.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

NEMC yatoa elimu matumizi sahihi ya zebaki kwa wachimbaji

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC)...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Oryx gesi yagawa mitungi, majiko 100 kwa waandishi wa habari Dar

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gesi Tanzania imegawa mitungi 100 ya gesi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mavunde ataja malengo “Vision 2030”

Spread the loveWAZIRI wa Madini amesema dhana ya “Vision 2030” inakusudia kuiendeleza...

Habari MchanganyikoMichezo

Wanamichezo Mei Mosi wachangia wahitaji vitu vya mil. 11.5

Spread the loveWanamichezo wanaoshiriki Michezo ya Mei Mosi Taifa 2024 jijini Arusha...

error: Content is protected !!